Matumizi ya asali na ukwaju katika kuondoa chunusi

Matumizi ya asali na ukwaju katika kuondoa chunusi

Ukitaka kuondoa chunusi usoni na kusafisha uso usiwe na madoa ni vyema ukatumia njia asili kufanya hivyo tumia asali na ukwaju kupata matokeo mazuri bila madhara

Ukwaju na asali hupatikana kwa urahisi sokoni

Ipende ngozi yako wakati wote kama utaona inakuchukua muda mrefu kutengeneza mchanganyiko wa asali na ukwaju basi ni vyema vipodozi unavyonunua kama sabuni ama losheni hakikisha vimetengenezwa kwa mchanganyiko wa asali na ukwaju

No comments