UTAJUAJE UKO KWENYE MAHUSIANO YA KUDUMU? ISHARA HIZI 5 ZITAKUONYESHA.
Mahusiano yana rangi nyingi tofauti
tofauti, wengine huanza vizuri na kuishia pabaya, na wengine huanza
vibaya mwanzo lakini huenda vizuri .kwa nini mahusiano mengine hufa
wakati mengine hudumu kwa muda mrefu? Kuna siri gani inayofanya
mahusiano yadumu ?
Watu wale waliotumia miaka 40 wakichunguza ndoa, , ndoa nyingi zilizotokea kutalikiana , haikuwa kwenye tofauti ya maoni lakini ni kwenye uwezo wa kuwasiliana ndio uliotofautisha maoni katika namna nzuri.pia watu wengi walijaribu kubadilisha utu wa wenza wao kwa jinsi walivyopenda kuliko kuwakubali jinsi walivyo.
Njia Za Utafiti.
Watafiti walinasema , Wanandoa ni nyumba kama walivyoita ni sehemu ya maabara ya mapenzi, mahali ambapo wataongea kila mmoja kuhusu kila kitu au kubishana .huko kwenye maabara ya mapenzi waligundua kuwa ndiko ambako kila mwanandoa ataonyesha kufanikiwa au kushindwa. Asilimia 91 ya usahihi walioona walishindwa kuelewana baada ya kusikiliza na kutazama kwa muda waliona sio namna yao tu bali hata vitendo. Na imegundulika ndoa nyingi kipindi cha miaka 40, zinakuwa na matatizo.
Matokeo Ya Utafiti.
Kitu kinachoweza kufanya ndoa iwe ya kushangaza na rahisi .ndoa yenye furaha watu wake hawako nadhifu,sio matajiri ,au hawako kisaikolojia zaidi kuliko wengine. Lakini siku kwa siku za maisha yao wanapigania nguvu ya kuhifadhi mawazo mazuri na kukataa mawazo mabaya. Na hisia za kila mwanandoa alizonazo. Wana kitu kinachoitwa ndoa yenye hisia za kiakili.
Hapa kuna ishara 5 zinazokuonyesha kuwa upo kwenye mahusiano ya kudumu.
1.Mnaheshimiana Kila Mmoja.
Wote huongea kwa njia ya uzuri na ya kirafiki. Unamweka mwenza wako kwa usawa bila ubaguzi, wakati mnapoongea kila mmoja kwa namna ya kukubaliana , huishi kwa muda mrefu.
2.Mnalalamikiana, Lakini Hakuna Kukosoana.
Kulalamikiana kupo lakini wenye aina ya ndoa hii hawakosoani kwenye tabia za tofauti, wanaelewana na kusahau yaliopita, , hupanga muda wao wa kazi kuliko kufikiria kwamba wao ni wa kushindwa.
3.Hakuna Anaemdharau Mwenzake.
Mnaongea kila mmoja kwa njia ya mapenzi, kuitana majina, kutizamana macho kwa uzuri, na mawazo ya kuumiza hayana nafasi kwao. Kwa kila mazungumzo. Unaelewa kuwa maneno usiopenda kuyasikia kutoka kwa mwenzako , pia hutasema hayo maneno kwa mwenza wako.
4.Hamuangushani Kwa Kila Kitu.
Huwa mnalenga katika kutafuta majawabu katika kila tabia inayojitokeza, mnaelewa kuwa mabishano hayawezi kuwa ni vita na hayawezi kupata nafasi ya kuharibu nguvu ya kushinda mawazo mabaya. Wakati maoni tofauti yanapokuja, mnakumbushana kuwa wote ni timu na kila mmoja yuko upande wa mwenzake.
5.Hakuna Anayempuuza Mwenzake.
Kila mtu anaelewa hisia za mwenzake, na kusikilizana kila mtu. Hamtumii muda au hali ya kujificha kwa ajili ya kupuuza kitu ambacho mwenza wako kasema, hasa pale mnapoongea kitu. kusameheana, kushukuru , kupendana, kuthaminiana na kusaidiana ndio nguzo zao
Toa maoni yako k uhusu hii makala .
Watu wale waliotumia miaka 40 wakichunguza ndoa, , ndoa nyingi zilizotokea kutalikiana , haikuwa kwenye tofauti ya maoni lakini ni kwenye uwezo wa kuwasiliana ndio uliotofautisha maoni katika namna nzuri.pia watu wengi walijaribu kubadilisha utu wa wenza wao kwa jinsi walivyopenda kuliko kuwakubali jinsi walivyo.
Njia Za Utafiti.
Watafiti walinasema , Wanandoa ni nyumba kama walivyoita ni sehemu ya maabara ya mapenzi, mahali ambapo wataongea kila mmoja kuhusu kila kitu au kubishana .huko kwenye maabara ya mapenzi waligundua kuwa ndiko ambako kila mwanandoa ataonyesha kufanikiwa au kushindwa. Asilimia 91 ya usahihi walioona walishindwa kuelewana baada ya kusikiliza na kutazama kwa muda waliona sio namna yao tu bali hata vitendo. Na imegundulika ndoa nyingi kipindi cha miaka 40, zinakuwa na matatizo.
Matokeo Ya Utafiti.
Kitu kinachoweza kufanya ndoa iwe ya kushangaza na rahisi .ndoa yenye furaha watu wake hawako nadhifu,sio matajiri ,au hawako kisaikolojia zaidi kuliko wengine. Lakini siku kwa siku za maisha yao wanapigania nguvu ya kuhifadhi mawazo mazuri na kukataa mawazo mabaya. Na hisia za kila mwanandoa alizonazo. Wana kitu kinachoitwa ndoa yenye hisia za kiakili.
Hapa kuna ishara 5 zinazokuonyesha kuwa upo kwenye mahusiano ya kudumu.
1.Mnaheshimiana Kila Mmoja.
Wote huongea kwa njia ya uzuri na ya kirafiki. Unamweka mwenza wako kwa usawa bila ubaguzi, wakati mnapoongea kila mmoja kwa namna ya kukubaliana , huishi kwa muda mrefu.
2.Mnalalamikiana, Lakini Hakuna Kukosoana.
Kulalamikiana kupo lakini wenye aina ya ndoa hii hawakosoani kwenye tabia za tofauti, wanaelewana na kusahau yaliopita, , hupanga muda wao wa kazi kuliko kufikiria kwamba wao ni wa kushindwa.
3.Hakuna Anaemdharau Mwenzake.
Mnaongea kila mmoja kwa njia ya mapenzi, kuitana majina, kutizamana macho kwa uzuri, na mawazo ya kuumiza hayana nafasi kwao. Kwa kila mazungumzo. Unaelewa kuwa maneno usiopenda kuyasikia kutoka kwa mwenzako , pia hutasema hayo maneno kwa mwenza wako.
4.Hamuangushani Kwa Kila Kitu.
Huwa mnalenga katika kutafuta majawabu katika kila tabia inayojitokeza, mnaelewa kuwa mabishano hayawezi kuwa ni vita na hayawezi kupata nafasi ya kuharibu nguvu ya kushinda mawazo mabaya. Wakati maoni tofauti yanapokuja, mnakumbushana kuwa wote ni timu na kila mmoja yuko upande wa mwenzake.
5.Hakuna Anayempuuza Mwenzake.
Kila mtu anaelewa hisia za mwenzake, na kusikilizana kila mtu. Hamtumii muda au hali ya kujificha kwa ajili ya kupuuza kitu ambacho mwenza wako kasema, hasa pale mnapoongea kitu. kusameheana, kushukuru , kupendana, kuthaminiana na kusaidiana ndio nguzo zao
Toa maoni yako k uhusu hii makala .
No comments