JE,hua ni MAPENZI YA KWELI au MAZOEA kwa hawa SPONSORS… (BUZI)?




Jaman wapo waliowahi pitia enzi zao na bado wanaendelea..na ambao ndio wameingia katika hili jambo..kwa maisha ya siku hizi mambo yamebadilika kwa namna ya ajabu.asilimia kubwa ya wadada..ma aunties.wenye kazi zenye maslah ya kuwalisha ,kua na yule mtu ambae akikohoa kusema bby natak….kabla hajamalizia A  ya mwisho ushaulizwa sh ngapi na lini unahitaji.?..hakuna mwanamke hapendi hilo jaman hakuuuuna…na wengi wanaokua wanasponsor wengi n wale watu wazima ambao kapata hela sasa anahitaji wa kuzitumia but hataki onekana public cha msingi umuheshimu tu.jaman naongea  sababu nimepitia hili haswaa ukipata wa nje ya tz..nilipata njemba mixer zimbabwe n lesotho ilikua balaaa hayo matunzo yake ni hatariii alinifanya nisahau stress za boyfriend ambae yeye mkisema mkutane anakua kashajiandaa na maspirit aje akukunjeee wewe hadi utembee kama bata hampat mda hata wa kuongea..ongea yenu n vikojoleo kugusana tu akitoka hapo ooh nawah washkaji sijui nn. mara mpira..mara flan ana birthday cha ajabu hakwambii twende hata mara moja unajikalia ndani maskini kama mke mwema tu wakujidai hutaki misele kumbe mweeeeee….sasa kukutana na njemba maisha yalikua mengine kwa kweli…nikanawiri haswaa,,,
to cut the story tuje kwa main topic sasa..issue ilikuja pale unataman umove on but roho inakuuuma sasa na yeye anakwambia mama ukipata future siwez kukukatalia but hakikisha ana mapenzi ya kweli na nia haswaa sio uanze kulia..imagine mtu anakushauri hivi…machoz yanataka kutoka..sasa nkashindwa elewa nakua kwenye MAPENZI NA YEYE AU NAKUA NA MAZOEA vile anavyontreat kutoka nashindwaaaa? kuna msanii aliwahi imba HAYANILIZI MAPENZI KINACHONILIZA MAZOEA…kuna saa najaribu kulinganisha lakini wapi….najua wapo wengi waliopitia  wengi tu mliwezaje hii hali?

MAONI YA WADAU

mwisho wa siku nagy buzi linamaisha yake lazima uwe na mwenzio wa maisha ukimpata kama anavyokushauri kuwa umeridhika nae basi inabidi umove on! kama ungepata roho kama yangu mie nakaa hapo hapo watu tunataka mapenzi na maisha yapo nihangaike nn tena hata kama umemzoea hakuna jinsi ila KUNA FIGA TATU wawili huwaweziii???? ndukiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

No comments